Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

tapatalk_1564955373162.jpg
 
Na wengine wanaojua ulaya wanasema bora uwe mfungwa ulaya kuliko raiya maskini Tanzania
Mbona mnatuchanganya?
Mbona hela zinafichwa ulaya na sio kwetu?
Kama unataka kufungwa nenda ukafungiwe nchi za Scandinavia Mzalendo. Haki ya nani utaishi kama vile uko Masaki...mpaka na posho juu...na conjugal visits kama una demu...
 
Duh sijawahi kutamani kufungwa eti kisa nile vizuri.
Uhuru wa kwenda unapopataka unaraha yake mkuu
Nilikuwa najibu ki-chit chat tu ulichokisema hapo juu kuhusu Ulaya.

Sidhani kama kuna mtu anayetamani kufungwa ili akaishi vizuri. Ndiyo maana huko Scandinavia pamoja na huduma nzuri magerezani, kuna ukosefu wa wafungwa mpaka magereza mengine yanafungwa. Ila huko Japan nasikia wazee wengi kuanzia 60 huwa wanapenda wakae magerezani ambako kuna kampani na wenzao kuliko uraiani huko kwenye upweke!
 
Back
Top Bottom