Invyoonekana wote walikua hawajui...


hiyo barabara ukizama tu unajua hapa ni wrong turn.
Haya sasa ndio maneno



mambo ya kukesha kwenye mbususu mtusamehe tuAkili tutatumia zangu

Ila kuna watu wanatabia za ajabu,hivi unaanzaje kunyooshea kidole kwamba nipe nyama ile kutoka jikoni,tena usikute ni kwenye mkusanyiko,bora iwe kwako unamwambia mkeo jikoni
Aisee,alirudi au alikufa?
Alikuwa anajipa shida ya bure,hio kazi ni ngumu sana,labda kama ilikuwa ni ibada fulani
Anaitwa nani?
Sijui jina lake.Anaitwa nani?