Chakula kinalanguliwa na wafanyabiashara wakubwa, kuwekwa maghalani na hatimaye kuuzwa nje ya nchi. Wakulima wala hawanufaiki kivile maana walishauza zamani sana baada tu ya kuvuna. Pigeni marufuku mahindi, mchele na maharage visiuzwe nje ya nchi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.