Dah! Kama ulijua vile
Huyo kijana ni think tank inayotegemewa sana huko upinzani. Pengine hakulijua hili na amedakia tu ili kupata mileage. Naamini kuna mtu ambaye atakuwa amekuja kumwelewesha.....Anhaa hii hutokea mfano shule anayosoma huyo kijana watahiniwa wakawa wengi wakafika limit ya NECTA
So hutafutiwa center ingine ambayo inawatahniwa wachache.
Ila kuna masaa tufiche ujinga wetu![]()
Nikutumie ambayo haijala crop. Ni supa dupa yutong ya ukweli kutoka kwa Madibahii picha imekula crop kali sana

Kiweke hapa (pdf) kama unacho mkuuWasomi wa zamaniView attachment 2500018

Hata ndotoni pia ukishalala, waogope wanaume 😂😂kwa hiyo tuogope hadi tunaenda kulala





