Dah...chawa..wa mama...!"Unafanya kazi gani?"
"Mimi ni chawa wa mama"
"Unalipwa shilingi ngapi?"
"Nitalipwa uDC au uDED"
"Hongera chawa"
"Thanks bro"
***************
Ndipo tulipofikia kama taifa!
View attachment 2477042View attachment 2477043View attachment 2477044
