Hapa kwenye wali maharage wacha tu niwe na kitambi kwanza hakiniumi wala hakiniwashi. Tena ngoja niende juu nikafuate maharageWali maharagwe ndio zako sufuria nzima wala peke yako





Na mbinguni zinaenda roho c mwili. Kula vizuri tu ndugu yangu.Hapa kwenye wali maharage wacha tu niwe na kitambi kwanza hakiniumi wala hakiniwashi. Tena ngoja niende juu nikafuate maharage
Hesabu haipo sawa/haijakamilika

Ndio hapo...Na mbinguni zinaenda roho c mwili. Kula vizuri tu ndugu yangu.
Mbunifu wa hii nguo mtoni atakua kitengo maalum


Unaweza kuta huyo mama ni mtumishi mzuri tu kanisani.