Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna mali safi moja hapo kushoto kwa munabiii imevaa nyeupe
JamiiForums140315725.jpg
 
Nini hiki? Nkiki ikyi? Nku mouta shituruma shi? . SGR iliyojengwa kwa zaidi ya Trilioni 20 za watanzania maskini ndo mnakuja kupitisha hizi bumunda? Aisee mmetukosea sana. Halafu mnasema hizi ni za masafa marefu?

Yani mnaamini mtu anaweza kukaa humo ndani kutoka Dar hadi Mwanza bila kupata changamoto ya upumuaji? Halafu eti mmetengenezea Korea? Si mngewapa tender SIDO ili kuokoa gharama? Au ni Korea ya Gongo la Mboto? Apaa ngula.!!
20221129_080110.jpg
 
Nilisikia kama wanasema (eti) sasa vitaletwa vichwa vya kawaida na sio vya mwendo kasi tena. Nadhani ndio maana wameamua kutuletea mabehewa ya mizigo,yaliyo tobolewa madirisha. Kipindi wanaanza kujenga na mbwembwe nyiiingi Watanzania tuliuliza "kwa umeme upi?" Hapa Tz? Yametimia!
 
Back
Top Bottom