Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1575451790053.jpeg
 
Hii inaitwa Dead Sea a.k.a "Bahari iliyokufa" ambayo iko katikati ya Jordan na upande wa magharibi inapakana na Israeli. sifa ya bahari hii ni watu wakiingia hawawezi kuzama!!. Duuuuuh! hii Nouma sana.


Chumvi hiyo ni sawa na great sea lake ipo huko uttah marekani
 
Back
Top Bottom