Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,105
- 828,998
- Thread starter
- #131,001
Mh @Nnauye_Nape
Kama ungekuwa unatumia hizi nguvu kulitetea Shirika letu la Simu @TTCLCorporation kuhakikisha wanasambaza FIBER zao ili Wananchi wauziwe Data kwa Gharama Nafuu ungeweka Historia Kubwa
HATUNA CHUKI NA WEWE
Tunataka Uwapambanie Wananchi na Sio Mitandao Ya Simu
Kama ungekuwa unatumia hizi nguvu kulitetea Shirika letu la Simu @TTCLCorporation kuhakikisha wanasambaza FIBER zao ili Wananchi wauziwe Data kwa Gharama Nafuu ungeweka Historia Kubwa
HATUNA CHUKI NA WEWE
Tunataka Uwapambanie Wananchi na Sio Mitandao Ya Simu



