under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 392
- 599
Hii sio bajaj ni bajaza
Duh! Kwenye huo mzigo tulio uzwa ukigawanya kwa milioni 60 ya raia mm ntapata sh ngapHaaaaaaa
Tanzania yapokea mkopo kutoka ufaransa Bilion 361.7 Kwa kizalisha Nishati Kwa mashart haya
1.Watakuwa wana monitor uzalishaji huu maana wataleta wataalamu wao! Mapato hayatahojiwa naTRA/ Chombo chochote
2.Mkopo utoe fursa Kwa ufaransa kuwekeza Kwa Miaka 20 Kwa mashart nafuu
Nani kawapiga picha?