Kesi namba 10 inayomkabili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 8 imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu mkazi Mwanza kutokana na Shahidi ambae pia ni mshtakiwa Suzana Simon kutoletwa Mahakamani hapo na kuelezwa kuwa amesahaulika gerezani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.