Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
FB_IMG_16671614365148884.jpg
 
Kesi namba 10 inayomkabili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 8 imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu mkazi Mwanza kutokana na Shahidi ambae pia ni mshtakiwa Suzana Simon kutoletwa Mahakamani hapo na kuelezwa kuwa amesahaulika gerezani
20221101_045756.jpg
 
Back
Top Bottom