Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Siitaki hiyo shikamoo yako mimi. Unaniita mkuu? Babu yako kabisa? 😳😳😳mambo mengi mkuu tumevurugwa na bei za sembe huku kitaa paka kuamkia watu tunaona kama tutafulisika
SHIKAMOO
Kweli maisha ni magumu. Na leo OPEC wametangaza kuwa wanapunguza uzalishaji wa mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku ili ku-create demand. Muda si muda mafuta nayo yataanza kupanda tena. Hakuna rangi ambayo tutaacha kuona aisee...







