I miss you Ankal,popote ulipo,Waziri ataka viwanja viwekewe VAR wakati pitch hazina uboraView attachment 2111175

We acha tu,hutamani hata kuamka ulipolala

Mama na mwanaye
Mtoto: mamaa..
Mama: abee..
Mtoto: nikuulize swali?
Mama: uliza
Mtoto: Kama haja ndogo ni ”short call” na Haja kubwa ni “long call”, Kwa nini kujamba isiitwe “missed call” ?!
Mama: mweee![]()








Baba na mwanaye
Mtoto: Eti baba, Unataka kuanza tena shule?
Baba: kwa nini Umeuliza hivyo?
Mtoto: Jana uthiku, nilithikia ukimnong’onetha mama Eti, kama anapenda, Muende la pili..! ”
Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo”
Baba: Aisee![]()



toto shenziToothpicks
Mama mwenye nyumba: jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?”
Housegirl: "mama, mie simo humo wala usinilaumu kabisaa, maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo.”
Mama mwenye nyumba: "Ebooo"



Heshima
Mtoto kaona nyeti ya baba yake,
Akauliza “nini hii”?
Baba,akajibu “ni Heshima”,
Kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, “toa heshima kwa wageni”,
Mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! M
toto akasema “mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kuuubwa……!



