Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Hao ndo vijana wazalendo! Safi sana! Pori lote hilo unataka watu watemebee na 60!
Hao ndo vijana wazalendo! Safi sana! Pori lote hilo unataka watu watemebee na 60!
Kaka ndio maana nasema tupo m.kunduni mwa dunia sema wee unatumia lugha ya malkia tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii Jamhuri kwa vituko yaani. Haiwezi kufanya hata jambo moja kizalendo. Sasa SGR mtumba tena dah! Mtu hapo keshavuta chake katajirika basi. Shit hole country
View attachment 2260500
Inasikitisha sana ndugu yangu...Kaka ndio maana nasema tupo m.kunduni mwa dunia sema wee unatumia lugha ya malkia tuu![]()






Kula mbususu tuu mwanawaneInasikitisha sana ndugu yangu...
Ni afadhali tu tule mbususu ili kupunguza machungu aisee.
Na wanaofanya hivi wapo na wanajulikana lakini hawafanywi cho chote!
We are indeed shithole countries![]()