Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hii Jamhuri kwa vituko yaani. Haiwezi kufanya hata jambo moja kizalendo. Sasa SGR mtumba tena dah! Mtu hapo keshavuta chake katajirika basi. Shit hole country [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2260500
Kaka ndio maana nasema tupo m.kunduni mwa dunia sema wee unatumia lugha ya malkia tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mliosoma intaneshno,msaada plizi
FB_IMG_1655210272097.jpg
 
Kaka ndio maana nasema tupo m.kunduni mwa dunia sema wee unatumia lugha ya malkia tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inasikitisha sana ndugu yangu...

Ni afadhali tu tule mbususu ili kupunguza machungu aisee.

Na wanaofanya hivi wapo na wanajulikana lakini hawafanywi cho chote!

We are indeed shithole countries [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom