Alitaka kunichukulia demu wangu mi nikamtaimu nikamuwahi nikamla wa kwake. Mpaka leo hatusalimiani



Na wale wasiopigiwa,wawe wanapiga wenyewe?
Vipi hali ikoje sasa?Umenikumbusha hii motion, miaka yetu ya gizani huko shule yangu tulienda Igowole-Mufindi pamoja na mambo mengine tulikuwa na debate na Sisi shule yetu ilikuwa opposer side![]()
Alafu wanapendaga ukiwakunja namna hii...yaani wee hapo nikupelekea moto tuu
Ukweli kabisa....mwanamke tako na sura






