Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220501_205649.jpg
 
Wanalinganisha bei ya mafuta hapa na Marekani, tukiwaambia walinganishe uhuru wa kujieleza hapa na Marekani wanasema ukiniparua nakukwaruza , ukiwaambia walinganishe ubora wa katiba ya Marekani na hapa kwetu wanasema wewe mchochezi, tulinganishe wastani wa pato la mfanyakazi wa serikali ya Marekani na hapa kwetu basi.

Anyway sijui nilikuwa nataka kusema nini lakini ukweli ni kwamba #KatibaMpyaNiSasa
#mamaanaupigamwinginiuongo
 
Back
Top Bottom