Behat
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 602
- 2,179
Hahahaaaa
Chini ya mwaka mmoja, ameshitakuwa, akahukumiwa, akakata rufaa, ameshinda rufaa.
Hapo ndo utajua kuna watu na viatuChini ya mwaka mmoja, ameshitakuwa, akahukumiwa, akakata rufaa, ameshinda rufaa.
Hapo atakwambia anafanya dayat!
Hapo zinatafutwa point za ushindi!
Duuh! Mambo ya zamani sana hayo!
Picha ya sita wanateseka sana...malipo hapahapa duniani!View attachment 2214477
Muhimu kulipia!Picha ya sita wanateseka sana
AswaaMuhimu kulipia!
Nilikuwa sijui kama huu ni ujinga. Bado naendelea nao aisee


