Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Maana yake wakija wapige hodi ukifungua wanasema shida yao unawapa hela, tv, nk halafu wanaondoka? Tukianza kufanya hivyo hakuna atakayeumizwa.
Ngoja na mimi nikaandike jina la mtoto wa mama mkwe


Hiyo picha ya juu mbona kama anamfungua mkanda?? 🧐🤨
Ushindweee!Ngoja na mimi nikaandike jina la mtoto wa mama mkwe![]()



Wabongo sasa uwiii!Hiyo picha ya juu mbona kama anamfungua mkanda??![]()
Babu usiniambie kuwa nawe unawaogopa???Unataka mi ndo nikawaulize?
Umechoka kuwa na babu ama?![]()
Tag location nije nikukabe.Ndiyo,wakitakacho unawapa,,
Mie siku kibaka atake kisimu changu,nitamwambia tu haina shida naomba niitoe laini yangu,
Sent using Jamii Forums mobile app