Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Yale yale ...wanawake wanpenda kushare migegedo. Tuwapelekee moto tuu

Red bull inakilevi?

Punguza. Itakuja kukuletea matatizo mbele ya safari - presha na shida ya figo na moyo....Red bull inakilevi?
Mbona nakunywa hata zaidi ya 5 nakuwa poa tu![]()


Tangazo lake moja mashuhuri linasema "Redbull gives you wings" na walishawahi kushtakiwa kwa sababu watu walikuwa wanakunywa kweli wanajaribu kuruka...



Ahsante,,,napunguzaPunguza. Itakuja kukuletea matatizo mbele ya safari - presha na shida ya figo na moyo....






Umeelewa nini hapo au tusubiri ufafanuzi wa yule bingwa wa hizo ishu?
Tumsubiri yule mwamba,aje afafanueUmeelewa nini hapo au tusubiri ufafanuzi wa yule bingwa wa hizo ishu?
