😂😂😂😂sema mamii unanin na sisi!!!?. Kama bado hujaolewa Nakuombea upate last born tena yule alie lelewa kijukuu kabisa maana watupenda sana.Haka Katakuwa ka last born,View attachment 2177995
Tumavichekesho sie...wacha tuitwe manyani
Huu ungese sasa. Sasa hii nayo sifa au ujinga tuu.....mwisho wa siku waajiri wengine hawatalipa wafanyakazi na watasema sii unaona rais hajalipwa miezi nane🤣🤣🤣🤣
Hako kakikuta Sijapika si katasusa na kwenda kula kwa mama yakesema mamii unanin na sisi!!!?. Kama bado hujaolewa Nakuombea upate last born tena yule alie lelewa kijukuu kabisa maana watupenda sana.

Nadhani Mungu alikuwa anafanya time updateLeo masaa sijayaelewa wallah
Sijui saa yangu mbovu![]()






Hii ni wa-Kerewe mkuu,siyo sisi

