Hahahaha yaani hatari,nilikuwa nawaogesha madogo yaan nawapaka sabuni nawamwagia maji aisee utasikia vinasemelea kwa mama eti dada hajanisuguausiombe akuogeshe bro wako afu usha msemea kwa bi mkubwa kala kwa watu ha ha,atakukwangua na wavu akikuogesha mpaka ngoz inavimba


,Keshajibu. Nilitaka nikuite tuje tusubirie jibu![]()


nimeona jibu babu