Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,857
- 136,483
Bado tunayo hii taa na chemli yake,,,,,,imekaa tu japo haitumiki,
Halafu vi last born haviwezi shika hiyo chemli

Bado tunayo hii taa na chemli yake,,,,,,imekaa tu japo haitumiki,

Umeona eeeh,,,,ajinyonge tuTukutane paradiso. Nitaenda kwenye deal ili kugharamia mazishi.
Sana,,,,vitoto vya sasa sijui vikoje? Havijui hata michezoEnzi hizo usingepata vitoto vibonge, tulikua wakakamavu sana.....
Sana,,,,vitoto vya sasa sijui vikoje? Havijui hata michezo
Inahuzunisha sana, juzi tumekua na ugomvi na mwanangu mmoja, baada ya kutembelea bibi kijijini akagoma halali huko, muda wote akili zilikua zinawaza play station yake mjini, nilimngurumia hadi akalala huko.


hivyo yaani,,,,wanawaza hayo ma game na cartoon,,,,huko kijijini wanaona sehemu ya kishamba
Nani wa kulaumiwa?Inahuzunisha sana, juzi tumekua na ugomvi na mwanangu mmoja, baada ya kutembelea bibi kijijini akagoma halali huko, muda wote akili zilikua zinawaza play station yake mjini, nilimngurumia hadi akalala huko.
Unapaswa kwenda kugegedana na mie pale askari monument mchana kweupe
Hawa hawa masuper woman bado hela ya salon wanaikodolea macho hivyo
Comment zako bhanaUnapaswa kwenda kugegedana na mie pale askari monument mchana kweupe
Kumbe tufanyaje?Hawa hawa masuper woman bado hela ya salon wanaikodolea macho hivyo
Brigedia Nanga
Ni kweli hujawahi kulala na mtu? Ulimvunja?![]()
Kujiremba kwako inabidi utumie hela yako...kama unataka hela ya kidume basi ukubali kuliwaKumbe tufanyaje?