Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Khatwe,kuna vitu nimekula shule kwa wingi tena kwa kulazimishwa nimevichukia ni pamoja na ugali siupendi kabisa,pia kuna chuo nilisoma tulikuwa tunalazimishwa kula ule mkate mdogo na blueband ndogo mwenyewe kila siku kwa miaka miwili na kulazimishwa kula robo kg ya karanga mbichi kila siku 2yrs.Hivo ugali,mkate,karanga mbichi toka niwe na maisha yangu nakula kwa shida sanaUlikuwa tu una asili ya kutopenda ugali, mbona wengine tumekula hivyo ila hadi leo tunakung'uta kama kawa
Yaaani nitoe buku kununua ugali bar/hotelini!!!Kamwe no!Khatwe,kuna vitu nimekula shule kwa wingi tena kwa kulazimishwa nimevichukia ni pamoja na ugali siupendi kabisa,pia kuna chuo nilisoma tulikuwa tunalazimishwa kula ule mkate mdogo na blueband ndogo mwenyewe kila siku kwa miaka miwili na kulazimishwa kula robo kg ya karanga mbichi kila siku 2yrs.Hivo ugali,mkate,karanga mbichi toka niwe na maisha yangu nakula kwa shida sana