lakini kwa sasa wale tuliopenda Yanga kwasababu ya njaa tunajuta




!!!!!!!!Tatizo ni kuwa WEKUNDU wataamini huu uongo uliotengenezwa kwenye vijiwe vyao. Hakukuwa na njaa mwaka 1979. Na Unga wa njano uliitwa unga wa Yanga hata mwaka 1974.Mwaka 1979 baada ya vita ya Uganda kuisha Tanzania tulikuwa nahali mbaya ya chakula njaa ikaenea nchi nzima Mzee nyerere akaenda marekani kuomba msaada wakamwambia sisi huku maghala yamejaa chakula cha mifugo akauliza hiyo mifugo inakula nini akaambiwa mahindi basi akawaambia nipe tu akapewa mahindi yenye rangi ya njano na kijani, watu tulikula na kuipenda #Yanga yenye rangilakini kwa sasa wale tuliopenda Yanga kwasababu ya njaa tunajuta
!!!!!!!!View attachment 2126820
Hapana ilikuwa ni wakati nchi iko vitani na kuna njaa kali ndio ukapata umaarufu mkubwaTatizo ni kuwa WEKUNDU wataamini huu uongo uliotengenezwa kwenye vijiwe vyao. Hakukuwa na njaa mwaka 1979. Na Unga wa njano uliitwa unga wa Yanga hata mwaka 1974.
Unachanganya facts. Vita imeisha mwezi wa nne1979. Ndio baada ya hapo Nyerere akatangaza miezi 18 ya hali ngumu ya uchumi (hapa tofautisha na kutangaza baa la njaa). Hujui kuwa tulikula unga wa yanga 1974?Hapana ilikuwa ni wakati nchi iko vitani na kuna njaa kali ndio ukapata umaarufu mkubwa
OK OK sawa ni mada ya vituko mitandaoni. Vema tukaishia hapoUnachanganya facts. Vita imeisha mwezi wa nne1979. Ndio baada ya hapo Nyerere akatangaza miezi 18 ya hali ngumu ya uchumi (hapa tofautisha na kutangaza baa la njaa). Hujui kuwa tulikula unga wa yanga 1974?
Yanga nyingine tulikula 1984.
Anyway, unaweza ukaamini chochote ili ku-suit your Obsession on Yanga, lakini ukweli ndio huo.
wale wanaofatilia tamthiria ya huba, muda ukifika tutakutana na kituko kama hiki toka kwa mke wa Roi.
Matema beach high 🤣🤣 hawa wadudu wana speed kuliko ambulance