Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220121-WA0079.jpg
 
Leo katika Bunge.
Mweshimiwa Spikaaaaaaaaaaa

SWALI LA NYONGEZA: Mbunge wa Kongwa tafadhali.

Mheshimiwa Sipika: Kwa niaba ya wananchi wa Kongwa, naomba kuuliza swali la nyongeza kwa waziri wa fedha kama ifuatavyo:-

Je mpaka sasa serikali imeshakopa nje ya nchi jumla ya shilingi ngapi, na serikali italipi lini ili kuepuka nchi kupigwa mnada..?

MAJIBU MHESHIMIWA WAZIRI TAFADHALI.
 
Back
Top Bottom