Bangi ni juhudi zako mwenyewe lakini madini ni karama za Mungu. Naamini ungelima madini na serikali ikakukuta nayo sidhani kama ingekunyang'anyaSerikali Mungu anawaonaView attachment 2086912



Tena ikija kuwa mianasiasa halafu uikute jukwaani inamwaga sera za kutetea wanyonge mbona mwenyewe utafurahi?Miamba ya baadayeView attachment 2087192
Kuingiza uzi kwenye tundu la sindano

@Babu hiyo rangi ya ugali
