Hapa wasukuma wameonewani wahehe ndio husema hivi
Hapo kwani kuna fa faWahehe ndiyo huwa na Fa fa?
Hapo kwani kuna fa fa
Umeshaanza mambo yako.
Mimi nimeuliza tu generally. Kuna wa kwenu sijui huwa wanatamka "nda", fanta anasema fanda


nimefanyaje kwaninimefanyaje kwani
Ndio hao wahehe wanatamka fanda, jinzi n.k
Nimekuzidi wewe?Umesahau u-pasua kichwa wako?
Nimekuzidi wewe?
Wewe na baba yako si ndio huwa mnasema huwezi kuchafua lami kwa kupaka kiwiEeh unyamaze tu, usinisingizie![]()


Wewe na baba yako si ndio huwa mnasema huwezi kuchafua lami kwa kupaka kiwi![]()
Kulikuwa na ulazima wa kumtaja Ntuzu wakati tunamuongelea baba yako? Mtoto una hila weweHahahaha my sweetest dad Kaboom. Hivi baby wako Ntuzu yuko wapi?
Hivi na mama angu mlikuwa na-share mchepuko gani vile?Kulikuwa na ulazima wa kumtaja Ntuzu wakati tunamuongelea baba yako? Mtoto una hila wewe




Hivi na mama angu mlikuwa na-share mchepuko gani vile?![]()


kamuulize mwenyeweHii nimeiona kwenye time line nikajisemea tu hiiiiiiHivi na mama angu mlikuwa na-share mchepuko gani vile?![]()



