Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,102
Haki twende wote kwa dokta hahaha
Haki muone daktari, mie naona minofu tu na mchuzi shatashata.
Haki muone daktari, mie naona minofu tu na mchuzi shatashata.
Numbisa hebu kuwa serious jamani, we hapo unaona mende kweli???Haki twende wote kwa dokta hahahaView attachment 1216707


Numbisa hebu kuwa serious jamani, we hapo unaona mende kweli???![]()
Huu uzi unawaumiza wengi,cheki huyo chizi hadi saa tisa uzi yupo macho kisa uzi wa numby daah
Usiufungue kabisa ila sisi ndo starehe yetu.Huu uzi badala ya Kuwa wa vituko unakuwa wa matusi mtandaoni
Hii nayo kali!!!!
Saa zingine huwa mchina tunamuonea tu. Hapa naamini haijatumika pruduct yake.
Niseme ukweli nilikipenda sana hiki kinywaji na sasa nimekimiss mbaya. Mjini kuna changamoto zake