Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380


Thubutuuuuu!2006![]()
Hii mbaya, unablock hadi wasiohusika.
Hii ni kweli SYB,kuna moja ya huko Usukumani inanyoaga hivyo,weeee,,ni weka mbali na watoto aisee.
Hiki kizungu cha wanaija ni hatari.
Duh yaani ukimpenda mmoja unachukuwa wote watatu...mwendo wa foursome tuu. Dah matajiri wa naija wachangamkie fursa hiyo. Yule jamaa wa simenti haioni fursa hii ya uwekezaji?