Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]


Hawa hawana mbunge wa CCM?
Waliwahi kuwa na mbunge aliyehudumu kama Waziri kwenye serikali ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
Arcado Ntagazwa, baadaye alikuja kuwa rais wa Mazingira Duniani.
Lakini haijasidia lolote.
Hali bado kama unavyoiona.
Kiangazi kuna vumbi la hatari
Masika ndiyo hivyo
 
Huyu atakuwa ni poropesa ndalisyakwa.
 
Kuna mtu kachafukwa huku[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Hakuna watu washenzi na takataka tena wapuuzi wakiwa wamejaa upumbavu kama wanaojiita #Manabii. Wengi wao ni waongo na matapeli na wanatumia #NGUVU_ZA_GIZA, Hawapo kwa ajili ya kuwasaidia bali wamekuwa #WANYANG_ANYI WAKUBWA na kufilisi watu..
Hawa manabii ni wajinga mno, wanatumia neno la Mungu kuwaumiza watu, huku Shetani ndiyo misingi yao.

Hosea 6:4
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

Manabii na maaskofu wa leo wengi wao ni #Utopolo na ni #Wezi.
Manabii au mitume gani wapo mijini tu vijijini hawapo?
 
Kwa vile hawawalazimishi wafuasi wao, acha tu watu wapigwe mpaka akili ziwakae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…