moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,234
Ni wewe bhana, pacha wako namjua vizuribila shaka umemuona pacha wangu


Ni wewe bhana, pacha wako namjua vizuribila shaka umemuona pacha wangu


Hiyo nondo ingelibaki hapo hata wakati wa likizo na hakuna mtu angeenda kuiiba. Lakini siku hizi mmmhhh!!
Ndivyo dunia ilivyo mkuu...Sio kituko..
But you must know it..
Kwamba kuna watu nxt year december wataenda Qatar kula bata la kombe la Dunia.
...
While kuna watu walikufa katika harakati za kuwaandalia mazingira mazuri ya kula hilo bata.Na hakuna atakayejali...MAY ALLAH REST THEIR SOUL IN PEACEView attachment 2022474
Kila nikionaga hizi picha zako hapa huwa nakumbuka ile kauli yako ya kuja na ID mpya kuwa na uhuru wa mtu kupost cho chote unachotaka bila woga...


