Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo huko mitaani. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo
Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah!
Legacy ya hovyo nimejijengea mimi. Hata siku nikidedi utasikia tu jamaa alikuwa anapenda misambwanda sasa kaiacha. Ai niidi tu chenji kwa kweli