HahahaWahuni siyo watu wazuriView attachment 1995215

Zamani wadada kazi kaziEnzi zetu. Kutongoza ilikuwa kazi kweli kweli...mpaka ukapewe mbususu mweh!
Siku hizi ukishapewa namba tu kazi kwisha
View attachment 2000233View attachment 2000234
Huyo dada anaelia picha yake inafikirisha kwl

#KuchapiwaHakuepukiki
Zamani ya wapi unaongelea mdogo wangu? Ya 2000+ hii uliyozaliwa? Mi naongelea miaka ya 55 huko hata wazazi wako bado hawajazaliwaZamani wadada kazi kazi
Hawalewi bia leo kesho
Siku hizi vichwa panzi
Bia mbili keshafika geto
Zamaaaaani ni tofauti na leo
Hadi ng'ombe maradufu ndo anakuwa mkeo
Zamaaaaani ni tofauti na leo
Ukitoa chips kuku analegeza komeo

Picha zako kwangu huwa zinafunguka mara chache sana...dah!Demu wa kisukuma...View attachment 2000283
Ujana unaishia miaka mingapi mkuu?Kijana wa 45 years old!?
Hebu tuweni serious muda mwingine


Zamani ya wapi unaongelea mdogo wangu? Ya 2000+ hii uliyozaliwa? Mi naongelea miaka ya 55 huko hata wazazi wako hawajazaliwa![]()





Seriously mi naweza kuwa babu yako aisee...ila basi tu.
Haya sasa matusi ngosha, miaka ya Fifute ndiyo nilikuwa naanza la kwanza.