Vituko mitandaoni. Tupia chako

Atafute mwanaume kutoka kwenye jamii yao ya wanyanyua vyuma.
Nitakuwaje na mwanamke kama huyo wakati nipo na mwili mdogo wa kawaida!
.
Mwisho tutaanza kutishiana maisha
 
Acha uchinvi, kutumia ID mpya kuna excitement yake. Kuna aina ya mijadala huwezi kuiingia kwa ID ya 2007 ambayo umeijengea reputation ya aina fulani, let's have fun.
Kwa hiyo na wewe bro hii ni ID ya kupigia uchimvi tu na kuweka memes na zile picha zako ili kujilindia heshima? Si ajabu unaweza kuwa ndo Mello mwenyewe aisee!

Wengine hatuna heshima za kulinda na kila mada tunatwanga na ID zile zile tu
 
Kwahiyo nawe ulifungua hii ya kufanyia ujinga
Watu na heshima zao za JF bana


Kwa mabinti ni hatari kwetu majentromeni kwa sababu unaweza kuona ID mpya ukaiibukia PM kumbe pisi ulishawahi kuiimbisha tayari ukaishia kujichoresha tu...Ukiona ID mpya ya kike ni muhimu kuichunguza chunguza kwanza kabla hujazama PM....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…