Tanga, Zenji na Dar.
Hiyo michezo miaka ya nyuma ilikuwa inawavutia mume na mke.
Zamani mume na mke walikuwa wana zurula usiku kutafuta chimbo la kwenda kupiga chabo.
Hapa Dar mambo haya yalianza kutoweka baada nyumba nyingi za udongo kujengwa kwa matofali.
Ni kama psychological disorder flani hivi, watu wazima lakini uwakute kwenye pilika za kutafuta chabo kama wamerogwa.
Kwa bara si sana lakini pwani na visiwa vya Zenji ni noma.
Kila nikiwasha data kunaingia notifications 50 kati ya hizo;
10 (kumi) zitakuwa zimegusa nyuzi nilizopitia muda mfupi uliopita au nilizoshiriki na 40 zinazobaki zote utaona... "Someone" started a new post: Vituko mitandaoni. Tupia chako