Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Kachomoa betiriii
Kachomoa betiriii
Kusinzia ni kutamu kuliko kulalaKama mke wa jilani,View attachment 1990079
Wa muhogo labda
Anaweza asiwe mwanachama akawa shabikiNimesimama mbele ya Mahakama
Sina chama cha siasa wala sio mwana siasa wachama chochote
Shahidi wa PGO
View attachment 1990325
Namskiza baba yangu 😎
Alipo tupo 😎Sema neno moja kwakeView attachment 1990327
Aseee huu n ugali
Et ametokea kuwapenda woote, ulimwengu una mazito.
Hii picha tumedanganywa kama Ile ya mchumba WA Sabaya. Picha hii hii ilikuja hapa JF ikiwa na maelezo kuwa kijana kamuoa mama yake mzazi ,mama alitoa sababu kuwa kamlea mwanae peke yake Kwa gharama kubwa hivyo ni Bora akafaidi yeye matunda.
Pole kwake, shida yake hashauriki, anajitosa kwenye issue zinazomcost baadaeSema neno moja kwakeView attachment 1990327




Na ndio maana iko huku kwenye post ya vitukoHii picha tumedanganywa kama Ile ya mchumba WA Sabaya. Picha hii hii ilikuja hapa JF ikiwa na maelezo kuwa kijana kamuoa mama yake mzazi ,mama alitoa sababu kuwa kamlea mwanae peke yake Kwa gharama kubwa hivyo ni Bora akafaidi yeye matunda.
Mikia bwana