2.6907138862652923E18.jpg
 
Jaribu mkuu. Sijaona kitu cha kudhuru hapo na ni vitu rahisi tu unavyoweza kuvikusanya hapo home.

Nguvu za kiume zinaendana na mfumo mzima wa maisha. Kula vyakula vyenye afya, punguza uzito, fanya mazoezi na mambo mengine ndo yatafuata. Ukiwa na cardiovascular system inayofanya kazi sawasawa mambo yote yatakuwa safii
Hiv kuna nguvu za kike🤨
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom