Wewe ni kabila gani kwanza?Hao ndio watakufaa zaidi, hakuna kudekeza kiziwanda.
Nyie mnaoficha makabila yenu hamna haki ya kushambulia wala kutania makabila ya wengine...Lolote tu![]()
Nyie mnaoficha makabila yenu hamna haki ya kushambulia wala kutania makabila ya wengine...
Ila wewe kama siyo Mnyaki basi itakuwa ni hukooo Tanga!






Hatuna mwanamke wa Kisukuma anayeweza kuita wanaume mafurushi. We utakuwa Mnyaki, Mhaya, Mchaga au huko Tanga. Mabinti wa Kisukuma wanaheshimu sana wanaume
Mie msukuma.







Umeeleweka sana tu
