Nshakashtukia. Nilifikia hitimisho hilo baada ya kuzifanyia uchambuzi wa kiintelijensia stori za kihenga tena za kindani ndani kabisa kanazopigaga na akina Moud na Mzee wa Ini halafu kanasingizia eti kalisimuliwa na mshua wa kenyewe. Kahenga kale period !!!Hee kumbe kapoti na kenyewe kahenga aiseee





Nyii watu nyinyiii
Huyu thimba ameelewa somo