the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,612
- 7,110
.
Sio kweli, hakuna hiace kama hii kule asee
Huwaga najiuliza sana hili jamboHivi hao wanawake na wanaume bao tunabiwa wana maagano mabaya kwamba tukitembea nao tunayabeba maagano yao mabaya, hivi hakuna wenye maagano yasio kuwa mabaya?
Kwa hyo kila mwanamke ana agano baya??, Mbna hamzungumzii mazuri??
,huyu msela 'paka' ananivunja mbavu


wabongo sijui wanafikiriaga nini kutengeneza vitu kama hiviDa!aisee yaani kila kukicha ni vibweka vipyawabongo sijui wanafikiriaga nini kutengeneza vitu kama hivi

Paka mwaka huu wanapata tabu
