Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kijijini huko late early to late 60s kumpata demu wa Kisukuma ilikuwa mtihani aisee...Hali hii iliendelea mpaka 70s to late 80s. Halafu pesa zikachukua mkondo wake..
View attachment 1968009
60s na 70s ulihadithiwa na nani kamanda?
Angalau 80s, 90 na 20.
Lakini 60 na 70 mzee tafadhali sana aisee[emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
je sio kwamba ni sauti za nasibu Kwakua hakuna Mwanadamu aliyezaliwa na lugha yake bali huikuta popote pale atakapozaliwa na kuifanya lugha mama yake???
 
60s na 70s ulihadithiwa na nani kamanda?
Angalau 80s, 90 na 20.
Lakini 60 na 70 mzee tafadhali sana aisee[emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Nimezaliwa mwaka 1945 wakati mbaya sana wa vita vya pili vya dunia. Miaka ya mwisho wa sitini huko ndo balekhe sasa...Najua sana ninachokiongelea. Dunia imebadilika mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…