Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ukorofi tu
FB_IMG_16334446376179730.jpg
 
Serikali : Tumeongeza tozo ya mafuta ili kuinua uchumi wa nchi.

UVCCM : Huu ndo uzalendo lazima watu walipe hizi tozo ili Serikali ijenge miundombinu

Serikali : Tumepunguza tozo ya mafuta

UVCCM: Tunaipongeza sana Serikali kwa kupunguza tozo ya mafuta maana inawaumiza wananchi.
 
Back
Top Bottom