Unakua na mahusiano lkn bae wako hana mpango wa kuanza familia kwa kipind hicho hata km ikinasa hakwambii anakubom anaenda cholopoa atakwambia tumbo linamzingua unamuongezea posho ya matumiz kwa hiyo unashirik bila kujua mpaka shoga yake ajisikie kukwambia ishakula kwako