Nakaaga uan kwenye matukio ya kifamilia ikitokea kuna kazi mabint wanaitegea naipiga mwanzo mwisho wananichukulia km mtu wa kazi kumbe naficha udhaifu wangu wa kutokua na pesa kwenye michango huwa sisumbuliw
Unaogopa sindano? Ile sindano nyingine huwa unachomwaje?
Katika umri huo labda uwe na ishu zingine. Sana sana wapeleke wazazi na babu na bibi wakachanjwe kama wangali hai. Hao wapo katika hatari zaidi kuliko wewe tineja!