Kwa mfano nikiwa najichua mara kwa mara kuna tofauti gani na yule anaefanya ngono mara kwa mara pia?! Naona kama madhara ya kujichua mengi ni ya kisaikolojia tu


Uko sahihi. Madhara mengi ni ya kisaikolojia japo hujipambanua physically (mf. Kupiga bao mapema, mnara kutosoma sawasawa, maumivu ya mgongo na kusahau sahau mambo)...Kwa mfano nikiwa najichua mara kwa mara kuna tofauti gani na yule anaefanya ngono mara kwa mara pia?! Naona kama madhara ya kujichua mengi ni ya kisaikolojia tu![]()
Dooh chaputa itabidi turudishe kadi sasaUko sahihi. Madhara mengi ni ya kisaikolojia japo hujipambanua physically (mf. Kupiga bao mapema, mnara kutosoma sawasawa, maumivu ya mgongo na kusahau sahau mambo)...


Being a soldier is not easy
Simba na CHADEMA.
Wote aiseeTusaidiane, unaona watu wangapi ?View attachment 1957598
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app