Vimbaumbau ni shida sana kwa kweli. Halafu sasa kimbembe chake hutakaa usahau. Mtiti mtaa mzima yaani na mashoga zake wakikachagiza.
Nikwambie kitu mjukuu? Mitandaoni humu (na kwingineko) wewe fanya kinachokupa furaha as long as huvunji sheria na mengine yote yaache. Leo utaambiwa meme ukiziwekea maelezo zinaboa. Kesho utaambiwa maelezo kidogo ndo vichocheo kunogesha nogesha. Huwezi kumridhisha kila mtu na wengine utaishia kuwakera tu hata ufanyeje.Siandiki chochote,vile sipendi kumkera mtu.