Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hiviii hatuwezi kabisa kuishi bila kutegemea ufadhili/misaada nchini?!
Tunawezaje kuvuka hapo na kusimamia vitu vyetu wenyewe,kufanya maamuzi yetu wenyewe nk?!
Akili yangu leo sijui imekula nini?
Any way,usiku mwema wadau,nawapenda sanaa.
 
Sio 2014 tu bali tokea 2010 ni mwana chama hapa jf, na jukwaa la siasa ndiko ninakoanzia lakini sijawahi ku experience ban, i wish some time lakini sababu unakosekana

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa km ni Member usiyechangia au kuanzisha uzi nani atakupa BAN halafu unasema Jukwaa la siasa bado siamini
ungetoa hata LIKE tungekuona huku, kwani post zako toka 2010 ni 4000 km mimi
angalia hapo Member wasioogopa barabara na traffic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…