Baada jeshi kuchukua mamlaka ya kuongoza nchi ya Guinea Conakry, wanajeshi wa nchi hiyo kila wakionekana mitaani wanashangiliwa na warembo wanawamwagia mabusu.
Sio 2014 tu bali tokea 2010 ni mwana chama hapa jf, na jukwaa la siasa ndiko ninakoanzia lakini sijawahi ku experience ban, i wish some time lakini sababu unakosekana
sasa km ni Member usiyechangia au kuanzisha uzi nani atakupa BAN halafu unasema Jukwaa la siasa bado siamini
ungetoa hata LIKE tungekuona huku, kwani post zako toka 2010 ni 4000 km mimi
angalia hapo Member wasioogopa barabara na traffic
Bati 100 ni milioni 2,700,000
Tofali 1000 ni 1mil
Zimebaki milioni nane! Kiufupi Milioni 12 unajenga banda la vyumba viwili na sebule, unaezeka unamaliza vizuri ndani na cheji inabaki. Tanzania upigaji hautakwisha!!