Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Uchoko mwingine huwa ni wa kuzaliwa au namna gani, kwanini hamuelezi direct I mean that's still soft, kwanini hampi adhabu stahiki ili anyooke au kama vipi kwanini hampigi chini kama kweli anamuibia?
Strange world.
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
Achana na hizo.
Mziki wenyewe huu hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mtuwache wahenga, wahenga tulikula maisha na visenti hivi aiseee[emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]


Mzee SYB weka nenoView attachment 1919786
Sen'tano na sen'shirini zimekosekana hapo, ila kwa yeyote aliyetumia senti moja ya kitobo duh! I doubt kama yupo janvini.

Enzi za kidege ruka(hii wengi hawataelewa ni kitu gani).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…