Wandugu msaada tafadhali,hii ishu inahusu nini?!
Maana nilitoka kidogo katika uso wa mtandaoni kwa siku Tano hivi.
Nimesikia vijana wakibishana kwenye usafiri.
Ilikuwa shilingi moja hiyo unakwenda nayo mjini sikukuu ya Sabasaba unapata maandazi na skonzi za kutosha; na jioni unarudi home na mzigo wa miwa...na chenji inabaki!