Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Kumbe
Hadi wanyama wanafungwa antena View attachment 1088955
Hadi wanyama wanafungwa antena View attachment 1088955
DuuHadi wanyama wanafungwa antena View attachment 1088955
Bangi sio kilevi kizuri
Dah Mkuu huo Mkono ni wako??
yani kama natamani nimuone maana niko nje ya hii hospital hapa kwenye kituo cha dala dala za ButimbaNumbisa yaani nimecheka. Kuna dada ni nesi wa Hospitali ya Butimba (Nyamagana), mumewe alikuwa na mchepuko wake, wakazaa mtoto wa kiume, huyu dada hakujaliwa uzazi.
Mchepuko wa yule baba au niseme mzazi mwenzie alifariki kwenye ile ajali ya kivuko cha Ukara (MV Nyerere) yaani huy nesi alishangilia hadi kero!!!
Yaani alikuwa akikutana na mtu ambaye wanajuana alianza hivi: JAMANI NINA RAHA, NINA RAHAAAAAAAAAAA UWIIIIII...